Isaya 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Paaza sauti na upige kelele kwa shangwe, Ee mwanamke mkaaji wa Sayuni, kwa maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu katikati yako.”+ Yoeli 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nanyi mtajua ya kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu,+ anayekaa katika Sayuni, mlima wangu mtakatifu.+ Na Yerusalemu litakuwa mahali patakatifu;+ wageni nao hawatapita tena kamwe kati yake.+ Zekaria 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nami nitawaleta ndani, nao watakaa katikati ya Yerusalemu;+ nao watakuwa watu wangu,+ nami nitakuwa Mungu wao katika ukweli na katika uadilifu.’ ”+
6 “Paaza sauti na upige kelele kwa shangwe, Ee mwanamke mkaaji wa Sayuni, kwa maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu katikati yako.”+
17 Nanyi mtajua ya kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu,+ anayekaa katika Sayuni, mlima wangu mtakatifu.+ Na Yerusalemu litakuwa mahali patakatifu;+ wageni nao hawatapita tena kamwe kati yake.+
8 Nami nitawaleta ndani, nao watakaa katikati ya Yerusalemu;+ nao watakuwa watu wangu,+ nami nitakuwa Mungu wao katika ukweli na katika uadilifu.’ ”+