Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi akawaondoa wanaume makahaba wa hekaluni kutoka katika nchi,+ akaondoa sanamu zote za mavi+ ambazo mababu zake walikuwa wametengeneza.+

  • 2 Wafalme 17:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nao wakaendelea kutumikia sanamu za mavi,+ ambazo Yehova alikuwa amewaambia hivi kuzihusu: “Msifanye jambo hili”;+

  • 2 Wafalme 21:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa sababu Manase+ mfalme wa Yuda amefanya machukizo+ haya, ametenda kwa uovu zaidi kuliko yote waliyotenda Waamori+ waliomtangulia, naye akasababisha Yuda watende dhambi+ kwa sanamu zake za mavi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki