1 Wafalme 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi akawaondoa wanaume makahaba wa hekaluni kutoka katika nchi,+ akaondoa sanamu zote za mavi+ ambazo mababu zake walikuwa wametengeneza.+ 2 Wafalme 17:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nao wakaendelea kutumikia sanamu za mavi,+ ambazo Yehova alikuwa amewaambia hivi kuzihusu: “Msifanye jambo hili”;+ 2 Wafalme 21:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Kwa sababu Manase+ mfalme wa Yuda amefanya machukizo+ haya, ametenda kwa uovu zaidi kuliko yote waliyotenda Waamori+ waliomtangulia, naye akasababisha Yuda watende dhambi+ kwa sanamu zake za mavi.
12 Basi akawaondoa wanaume makahaba wa hekaluni kutoka katika nchi,+ akaondoa sanamu zote za mavi+ ambazo mababu zake walikuwa wametengeneza.+
12 Nao wakaendelea kutumikia sanamu za mavi,+ ambazo Yehova alikuwa amewaambia hivi kuzihusu: “Msifanye jambo hili”;+
11 “Kwa sababu Manase+ mfalme wa Yuda amefanya machukizo+ haya, ametenda kwa uovu zaidi kuliko yote waliyotenda Waamori+ waliomtangulia, naye akasababisha Yuda watende dhambi+ kwa sanamu zake za mavi.