26“‘Msijifanyie miungu isiyo na thamani,+ wala msijisimamishie sanamu ya kuchongwa+ au nguzo takatifu, wala msiweke jiwe kuwa sanamu katika+ nchi yenu ili kuliinamia;+ kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu.
23 Jiangalieni msije mkasahau agano la Yehova Mungu wenu ambalo alifanya pamoja nanyi+ na msijifanyie sanamu ya kuchongwa, umbo la kitu chochote ambacho juu yake Yehova Mungu wako amekuamuru.+