Maombolezo 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uchafu wake umo ndani ya marinda yake.+ Hakukumbuka wakati wake ujao,+Naye huteremka chini kwa njia ya ajabu. Hana mfariji.+Ee Yehova, uone mateso yangu,+ kwa maana adui amejivuna sana.+
9 Uchafu wake umo ndani ya marinda yake.+ Hakukumbuka wakati wake ujao,+Naye huteremka chini kwa njia ya ajabu. Hana mfariji.+Ee Yehova, uone mateso yangu,+ kwa maana adui amejivuna sana.+