Kumbukumbu la Torati 32:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Laiti wangalikuwa wenye hekima!+ Ndipo wangalifikiria hili kwa uzito.+Wangaliufikiria mwisho wao baadaye.+ Yeremia 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hata korongo juu mbinguni—anajua vema nyakati zake zilizowekwa;+ na njiwa-tetere+ na barawai na teleka—huangalia vema wakati wa kila mmoja wao kuingia. Lakini watu wangu hawajaijua hukumu ya Yehova.”’+
29 Laiti wangalikuwa wenye hekima!+ Ndipo wangalifikiria hili kwa uzito.+Wangaliufikiria mwisho wao baadaye.+
7 Hata korongo juu mbinguni—anajua vema nyakati zake zilizowekwa;+ na njiwa-tetere+ na barawai na teleka—huangalia vema wakati wa kila mmoja wao kuingia. Lakini watu wangu hawajaijua hukumu ya Yehova.”’+