Zaburi 107:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Ni nani mwenye hekima? Atayashika mambohayo+Na kukaza fikira zake kwa matendo ya Yehova ya fadhili zenye upendo.+ Hosea 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ni nani aliye na hekima, apate kuelewa mambo haya?+ Mwenye busara, apate kuyajua?+ Kwa maana njia za Yehova zimenyooka,+ na waadilifu ndio watakaotembea katika hizo;+ bali wakosaji ndio watakaojikwaa katika hizo.+ 1 Timotheo 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Tafakari mambo haya;+ zama katika hayo, ili maendeleo+ yako yawe wazi kwa watu wote.
43 Ni nani mwenye hekima? Atayashika mambohayo+Na kukaza fikira zake kwa matendo ya Yehova ya fadhili zenye upendo.+
9 Ni nani aliye na hekima, apate kuelewa mambo haya?+ Mwenye busara, apate kuyajua?+ Kwa maana njia za Yehova zimenyooka,+ na waadilifu ndio watakaotembea katika hizo;+ bali wakosaji ndio watakaojikwaa katika hizo.+