Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 107:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Ni nani mwenye hekima? Atayashika mambo

      hayo+

      Na kukaza fikira zake kwa matendo ya Yehova ya fadhili zenye upendo.+

  • Hosea 14:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ni nani aliye na hekima, apate kuelewa mambo haya?+ Mwenye busara, apate kuyajua?+ Kwa maana njia za Yehova zimenyooka,+ na waadilifu ndio watakaotembea katika hizo;+ bali wakosaji ndio watakaojikwaa katika hizo.+

  • 1 Timotheo 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Tafakari mambo haya;+ zama katika hayo, ili maendeleo+ yako yawe wazi kwa watu wote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki