6 Nanyi mtazishika na kuzifanya, kwa sababu hiyo ni hekima+ kwenu na uelewaji+ kwenu mbele ya macho ya vikundi vya watu watakaosikia juu ya masharti yote haya, nao watasema, ‘Taifa hili kubwa bila shaka ni watu wenye hekima na wenye uelewaji.’+
12 “Ni mwanadamu yupi ambaye ana hekima, ili aelewe jambo hili, yule ambaye kinywa cha Yehova kimesema naye, ili aseme jambo hili?+ Kwa nini nchi iangamie, kwa kweli iteketezwe kama nyika bila yeyote wa kupita katikati?”+
9 Ni nani aliye na hekima, apate kuelewa mambo haya?+ Mwenye busara, apate kuyajua?+ Kwa maana njia za Yehova zimenyooka,+ na waadilifu ndio watakaotembea katika hizo;+ bali wakosaji ndio watakaojikwaa katika hizo.+