Isaya 42:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ni nani kati yenu atakayetega sikio asikie jambo hili? Ni nani atakayekaza uangalifu na kusikiliza kwa ajili ya nyakati za baadaye?+ Hosea 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ni nani aliye na hekima, apate kuelewa mambo haya?+ Mwenye busara, apate kuyajua?+ Kwa maana njia za Yehova zimenyooka,+ na waadilifu ndio watakaotembea katika hizo;+ bali wakosaji ndio watakaojikwaa katika hizo.+
23 Ni nani kati yenu atakayetega sikio asikie jambo hili? Ni nani atakayekaza uangalifu na kusikiliza kwa ajili ya nyakati za baadaye?+
9 Ni nani aliye na hekima, apate kuelewa mambo haya?+ Mwenye busara, apate kuyajua?+ Kwa maana njia za Yehova zimenyooka,+ na waadilifu ndio watakaotembea katika hizo;+ bali wakosaji ndio watakaojikwaa katika hizo.+