Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 107:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Ni nani mwenye hekima? Atayashika mambo

      hayo+

      Na kukaza fikira zake kwa matendo ya Yehova ya fadhili zenye upendo.+

  • Methali 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mtu mwenye hekima atasikiliza na kupata mafundisho zaidi,+ naye mtu mwenye uelewaji ndiye anayepata mwongozo stadi,+

  • Yeremia 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Ni mwanadamu yupi ambaye ana hekima, ili aelewe jambo hili, yule ambaye kinywa cha Yehova kimesema naye, ili aseme jambo hili?+ Kwa nini nchi iangamie, kwa kweli iteketezwe kama nyika bila yeyote wa kupita katikati?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki