-
Yeremia 9:12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Ni nani mwenye hekima ya kutosha kuelewa jambo hili?
Kinywa cha Yehova kimezungumza na nani, ili atangaze jambo hilo?
Kwa nini nchi imeangamia?
Kwa nini imeteketezwa kama nyika,
Hivi kwamba hakuna mtu anayepita humo?”
-