Methali 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mpe mtu mwenye hekima naye atazidi kuwa na hekima.+ Mpe ujuzi mtu mwadilifu naye atazidi kujifunza. Methali 15:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Sikio linalosikiliza karipio+ la uzima hukaa kati ya watu wenye hekima.+ 1 Wakorintho 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nasema kana kwamba ni kwa watu wenye utambuzi;+ hukumuni ninyi wenyewe lile ninalosema.
9 Mpe mtu mwenye hekima naye atazidi kuwa na hekima.+ Mpe ujuzi mtu mwadilifu naye atazidi kujifunza.