Zaburi 39:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Umemrekebisha mtu kwa makaripio dhidi ya kosa,+Nawe unakula vitu vyake vyenye kutamanika kama nondo.+Kwa kweli kila mtu wa udongo ni pumzi tu.+ Sela. Methali 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana amri hiyo ni taa,+ na sheria ni nuru,+ nayo makaripio ya nidhamu ndiyo njia ya uzima,+ Methali 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Anayepuuza nidhamu hupatwa na umaskini na aibu,+ lakini anayeshika karipio ndiye anayetukuzwa.+
11 Umemrekebisha mtu kwa makaripio dhidi ya kosa,+Nawe unakula vitu vyake vyenye kutamanika kama nondo.+Kwa kweli kila mtu wa udongo ni pumzi tu.+ Sela.