Methali 15:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Yeyote anayeepuka nidhamu+ anaikataa nafsi yake mwenyewe, lakini anayesikiliza karipio anajipatia utambuzi wa moyo.+ Waebrania 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Angalieni kwamba msimkatae yeye anayesema.+ Kwa maana ikiwa hawakuponyoka, wale waliomkataa yeye aliyekuwa akitoa onyo la kimungu duniani,+ sisi hatutaponyoka hata kidogo tukigeukia mbali kutoka kwake yeye anayesema kutoka mbinguni.+
32 Yeyote anayeepuka nidhamu+ anaikataa nafsi yake mwenyewe, lakini anayesikiliza karipio anajipatia utambuzi wa moyo.+
25 Angalieni kwamba msimkatae yeye anayesema.+ Kwa maana ikiwa hawakuponyoka, wale waliomkataa yeye aliyekuwa akitoa onyo la kimungu duniani,+ sisi hatutaponyoka hata kidogo tukigeukia mbali kutoka kwake yeye anayesema kutoka mbinguni.+