Zaburi 50:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tazama, wewe—wewe umechukia nidhamu,+Nawe unaendelea kuyatupa maneno yangu nyuma yako.+ Methali 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nawe utalazimika kusema: “Nimechukia nidhamu+ kama nini nao moyo wangu umedharau karipio+ kama nini! Methali 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Anayepuuza nidhamu hupatwa na umaskini na aibu,+ lakini anayeshika karipio ndiye anayetukuzwa.+ Waebrania 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Angalieni kwamba msimkatae yeye anayesema.+ Kwa maana ikiwa hawakuponyoka, wale waliomkataa yeye aliyekuwa akitoa onyo la kimungu duniani,+ sisi hatutaponyoka hata kidogo tukigeukia mbali kutoka kwake yeye anayesema kutoka mbinguni.+
12 Nawe utalazimika kusema: “Nimechukia nidhamu+ kama nini nao moyo wangu umedharau karipio+ kama nini!
25 Angalieni kwamba msimkatae yeye anayesema.+ Kwa maana ikiwa hawakuponyoka, wale waliomkataa yeye aliyekuwa akitoa onyo la kimungu duniani,+ sisi hatutaponyoka hata kidogo tukigeukia mbali kutoka kwake yeye anayesema kutoka mbinguni.+