Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 50:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Tazama, wewe—wewe umechukia nidhamu,+

      Nawe unaendelea kuyatupa maneno yangu nyuma yako.+

  • Methali 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nawe utalazimika kusema: “Nimechukia nidhamu+ kama nini nao moyo wangu umedharau karipio+ kama nini!

  • Methali 13:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Anayepuuza nidhamu hupatwa na umaskini na aibu,+ lakini anayeshika karipio ndiye anayetukuzwa.+

  • Waebrania 12:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Angalieni kwamba msimkatae yeye anayesema.+ Kwa maana ikiwa hawakuponyoka, wale waliomkataa yeye aliyekuwa akitoa onyo la kimungu duniani,+ sisi hatutaponyoka hata kidogo tukigeukia mbali kutoka kwake yeye anayesema kutoka mbinguni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki