Hosea 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ni nani aliye na hekima? Na aelewe mambo haya. Ni nani aliye na busara? Na ayajue mambo hayo. Kwa maana njia za Yehova zimenyooka,+Na waadilifu watatembea katika njia hizo;Lakini watenda dhambi watajikwaa humo. Hosea Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 14:9 jd 86-88; w05 11/15 31 Hosea Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 14:9 Siku ya Yehova, kur. 86-88 The Watchtower,11/15/2005, uku. 31
9 Ni nani aliye na hekima? Na aelewe mambo haya. Ni nani aliye na busara? Na ayajue mambo hayo. Kwa maana njia za Yehova zimenyooka,+Na waadilifu watatembea katika njia hizo;Lakini watenda dhambi watajikwaa humo.