Zaburi 81:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Laiti watu wangu wangekuwa wakinisikiliza,+Laiti Israeli angetembea katika njia zangu!+ Methali 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mtu mwenye hekima atasikiliza na kupata mafundisho zaidi,+ naye mtu mwenye uelewaji ndiye anayepata mwongozo stadi,+ Methali 27:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Uwe na hekima, mwanangu, na kuufanya moyo wangu ushangilie,+ ili nipate kumjibu anayenidhihaki.+
5 Mtu mwenye hekima atasikiliza na kupata mafundisho zaidi,+ naye mtu mwenye uelewaji ndiye anayepata mwongozo stadi,+