Ayubu 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye Yehova akaendelea kumwambia Shetani: “Je, umeuweka moyo wako juu ya mtumishi wangu Ayubu, kwamba hakuna yeyote aliye kama yeye duniani,+ mtu asiye na lawama+ na mnyoofu,+ mwenye kumwogopa Mungu+ na kujiepusha na ubaya?”+ Ayubu 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo Shetani akamjibu Yehova, akasema: “Je, Ayubu amemwogopa Mungu bure?+ Zaburi 127:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwenye furaha ni mwanamume ambaye amelijaza+ podo lake na hao.Hawataona aibu,+Kwa maana wataongea na adui langoni.
8 Naye Yehova akaendelea kumwambia Shetani: “Je, umeuweka moyo wako juu ya mtumishi wangu Ayubu, kwamba hakuna yeyote aliye kama yeye duniani,+ mtu asiye na lawama+ na mnyoofu,+ mwenye kumwogopa Mungu+ na kujiepusha na ubaya?”+
5 Mwenye furaha ni mwanamume ambaye amelijaza+ podo lake na hao.Hawataona aibu,+Kwa maana wataongea na adui langoni.