Zaburi 84:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+Yeye hutoa kibali na utukufu.+Yehova mwenyewe hatawanyima jambo lolote jema wale wanaotembea bila kosa.+ Waebrania 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+
11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+Yeye hutoa kibali na utukufu.+Yehova mwenyewe hatawanyima jambo lolote jema wale wanaotembea bila kosa.+
13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+