Mwanzo 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hii ndiyo historia ya Noa. Noa alikuwa mtu mwadilifu.+ Alionekana kuwa mtu asiye na kosa kati ya watu wa siku zake. Noa alitembea pamoja na Mungu wa kweli.+ Zaburi 37:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Mwangalie mtu asiye na lawama na uendelee kumwangalia mnyoofu,+Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa wenye amani.+ Yohana 1:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Yesu akamwona Nathanaeli akimjia na kusema juu yake: “Ona, Mwisraeli kwa uhakika, ambaye hamna udanganyifu ndani yake.”+
9 Hii ndiyo historia ya Noa. Noa alikuwa mtu mwadilifu.+ Alionekana kuwa mtu asiye na kosa kati ya watu wa siku zake. Noa alitembea pamoja na Mungu wa kweli.+
37 Mwangalie mtu asiye na lawama na uendelee kumwangalia mnyoofu,+Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa wenye amani.+
47 Yesu akamwona Nathanaeli akimjia na kusema juu yake: “Ona, Mwisraeli kwa uhakika, ambaye hamna udanganyifu ndani yake.”+