Zaburi 37:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Mwangalie mtu asiye na lawama na uendelee kumwangalia mnyoofu,+Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa wenye amani.+ Luka 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wote wawili walikuwa waadilifu+ mbele za Mungu kwa sababu ya kutembea bila lawama+ kulingana na amri+ zote na matakwa ya kisheria+ ya Yehova.+ 2 Petro 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 naye hakujizuia kuuadhibu ulimwengu wa kale,+ bali alimlinda Noa, mhubiri wa uadilifu,+ akiwa salama pamoja na wengine saba+ alipoleta gharika+ juu ya ulimwengu wa watu wasiomwogopa Mungu;
37 Mwangalie mtu asiye na lawama na uendelee kumwangalia mnyoofu,+Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa wenye amani.+
6 Wote wawili walikuwa waadilifu+ mbele za Mungu kwa sababu ya kutembea bila lawama+ kulingana na amri+ zote na matakwa ya kisheria+ ya Yehova.+
5 naye hakujizuia kuuadhibu ulimwengu wa kale,+ bali alimlinda Noa, mhubiri wa uadilifu,+ akiwa salama pamoja na wengine saba+ alipoleta gharika+ juu ya ulimwengu wa watu wasiomwogopa Mungu;