Zaburi 34:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Geuka kutoka katika yaliyo mabaya, na kufanya yaliyo mema;+Utafute amani, na kuifuatia.+ Methali 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe.+ Mwogope Yehova na ujiepushe na ubaya.+ Methali 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Njia kuu ya wanyoofu ni kuepuka ubaya.+ Anayeilinda njia yake anaitunza nafsi yake.+