Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Methali za Sulemani.+

      Mwana mwenye hekima ndiye anayemfanya baba ashangilie,+ naye mwana mjinga ni huzuni ya mama yake.+

  • Methali 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mwana mwenye hekima ndiye humfanya baba yake ashangilie,+ lakini mtu mjinga anamdharau mama yake.+

  • Methali 23:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Mwanangu, ikiwa moyo wako umekuwa na hekima,+ moyo wangu utashangilia, naam, moyo wangu.+

  • Sefania 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yehova Mungu wako yupo katikati yako. Kama Mwenye nguvu, ataokoa.+ Atakufurahia kwa shangwe.+ Atanyamaza katika upendo wake. Atakushangilia kwa vilio vya furaha.

  • 2 Yohana 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ninashangilia sana kwa sababu nimekuta baadhi ya watoto+ wako wanatembea katika kweli,+ kama vile tulivyopokea amri kutoka kwa Baba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki