Methali 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Methali za Sulemani.+ Mwana mwenye hekima ndiye anayemfanya baba ashangilie,+ naye mwana mjinga ni huzuni ya mama yake.+ Methali 15:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mwana mwenye hekima ndiye humfanya baba yake ashangilie,+ lakini mtu mjinga anamdharau mama yake.+ Methali 23:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mwanangu, ikiwa moyo wako umekuwa na hekima,+ moyo wangu utashangilia, naam, moyo wangu.+ Sefania 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yehova Mungu wako yupo katikati yako. Kama Mwenye nguvu, ataokoa.+ Atakufurahia kwa shangwe.+ Atanyamaza katika upendo wake. Atakushangilia kwa vilio vya furaha. 2 Yohana 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ninashangilia sana kwa sababu nimekuta baadhi ya watoto+ wako wanatembea katika kweli,+ kama vile tulivyopokea amri kutoka kwa Baba.+
10 Methali za Sulemani.+ Mwana mwenye hekima ndiye anayemfanya baba ashangilie,+ naye mwana mjinga ni huzuni ya mama yake.+
20 Mwana mwenye hekima ndiye humfanya baba yake ashangilie,+ lakini mtu mjinga anamdharau mama yake.+
17 Yehova Mungu wako yupo katikati yako. Kama Mwenye nguvu, ataokoa.+ Atakufurahia kwa shangwe.+ Atanyamaza katika upendo wake. Atakushangilia kwa vilio vya furaha.
4 Ninashangilia sana kwa sababu nimekuta baadhi ya watoto+ wako wanatembea katika kweli,+ kama vile tulivyopokea amri kutoka kwa Baba.+