2 bali tumeyakataa mambo ya kichinichini ambayo ni ya kuonea aibu,+ si kutembea kwa ujanja, wala kulichanganya na kitu neno la Mungu,+ bali kwa kufanya kweli iwe wazi tukijipendekeza kwa kila dhamiri ya kibinadamu machoni pa Mungu.+
3 Kwa maana nilishangilia sana wakati akina ndugu walipokuja na kutoa ushahidi kuhusu kweli ambayo wewe unashika, kama vile unavyoendelea kutembea katika kweli.+