17 Ni sisi; kwa maana sisi si wachuuzi wa neno la Mungu+ kama watu wengi walivyo,+ bali tunasema kwa unyoofu wa moyo, ndiyo, tukiwa waliotumwa kutoka kwa Mungu, machoni pa Mungu, kwa kushirikiana na Kristo.+
9 Kama vile tulivyosema hapo juu, sasa mimi pia nasema tena, Mtu yeyote anayewatangazia ninyi jambo fulani kupita lile mlilopokea+ kuwa hilo ni habari njema, na alaaniwe.