Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ni sisi; kwa maana sisi si wachuuzi wa neno la Mungu+ kama watu wengi walivyo,+ bali tunasema kwa unyoofu wa moyo, ndiyo, tukiwa waliotumwa kutoka kwa Mungu, machoni pa Mungu, kwa kushirikiana na Kristo.+

  • 2 Wakorintho 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Sisi hatutoi sababu yoyote ya kukwaza+ kwa njia yoyote, ili huduma yetu isilaumiwe;+

  • 2 Wakorintho 8:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hivyo tunaepuka kupata lawama+ kutoka kwa mtu yeyote kuhusiana na mchango+ huu wa ukarimu ambao sisi tutaushughulikia.

  • Wagalatia 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kama vile tulivyosema hapo juu, sasa mimi pia nasema tena, Mtu yeyote anayewatangazia ninyi jambo fulani kupita lile mlilopokea+ kuwa hilo ni habari njema, na alaaniwe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki