Kumbukumbu la Torati 12:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kila neno ninalowaamuru ninyi ndilo mtakalokuwa waangalifu kulifanya.+ Msiongeze juu yake wala kuondoa kutoka kwake.+ Methali 30:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Usiongeze chochote katika maneno yake+ asije akakukaripia, wala usionekane kuwa mwongo.+
32 Kila neno ninalowaamuru ninyi ndilo mtakalokuwa waangalifu kulifanya.+ Msiongeze juu yake wala kuondoa kutoka kwake.+