2 Nanyi msiongeze kwenye neno ninalowaamuru ninyi, wala msiondoe lolote kutoka katika hilo,+ ili mzishike amri za Yehova Mungu wenu ninazowaamuru ninyi.
18 “Ninamtolea ushahidi kila mtu anayesikia maneno ya unabii wa kitabu hiki cha kukunjwa: Yeyote akiongeza+ kwenye mambo haya, Mungu atamwongezea mapigo+ yaliyoandikwa katika kitabu hiki;