2 Nanyi msiongeze kwenye neno ninalowaamuru ninyi, wala msiondoe lolote kutoka katika hilo,+ ili mzishike amri za Yehova Mungu wenu ninazowaamuru ninyi.
4 Kwa maana, kama ilivyo, mtu fulani akija na kuhubiri Yesu mwingine tofauti na yule tuliyemhubiri,+ au mkipokea roho nyingine tofauti na ile mliyopokea,+ au habari njema+ nyingine tofauti na ile mliyokubali, mnamvumilia kwa urahisi.+
8 Lakini, hata ikiwa sisi au malaika kutoka mbinguni tungewatangazia ninyi kuwa habari njema jambo fulani kupita lile tulilowatangazia ninyi kuwa habari njema, mtu huyo na alaaniwe.+
3 lakini kila neno lililoongozwa na roho ambalo halimkiri Yesu halitokani na Mungu.+ Zaidi ya hayo, hili ndilo neno lililoongozwa na roho la yule mpinga-Kristo ambalo mmesikia kwamba linakuja,+ na sasa tayari limo ulimwenguni.+