7 “Ila tu uwe hodari na mwenye nguvu sana ili uangalie kufanya kulingana na sheria yote ambayo Musa mtumishi wangu alikuamuru.+ Usiiache, kwenda upande wa kuume wala wa kushoto,+ kusudi utende kwa hekima kila mahali unapoenda.+
18 “Ninamtolea ushahidi kila mtu anayesikia maneno ya unabii wa kitabu hiki cha kukunjwa: Yeyote akiongeza+ kwenye mambo haya, Mungu atamwongezea mapigo+ yaliyoandikwa katika kitabu hiki;