Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kila neno ninalowaamuru ninyi ndilo mtakalokuwa waangalifu kulifanya.+ Msiongeze juu yake wala kuondoa kutoka kwake.+

  • Yoshua 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Ila tu uwe hodari na mwenye nguvu sana ili uangalie kufanya kulingana na sheria yote ambayo Musa mtumishi wangu alikuamuru.+ Usiiache, kwenda upande wa kuume wala wa kushoto,+ kusudi utende kwa hekima kila mahali unapoenda.+

  • Methali 30:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Usiongeze chochote katika maneno yake+ asije akakukaripia, wala usionekane kuwa mwongo.+

  • Ufunuo 22:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Ninamtolea ushahidi kila mtu anayesikia maneno ya unabii wa kitabu hiki cha kukunjwa: Yeyote akiongeza+ kwenye mambo haya, Mungu atamwongezea mapigo+ yaliyoandikwa katika kitabu hiki;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki