9 Kila mtu anayevuka mipaka+ naye hakai+ katika fundisho la Kristo hana Mungu.+ Yeye ambaye anakaa katika fundisho hili ndiye aliye na Baba na Mwana pia.+
15Nami nikaona ishara+ nyingine mbinguni, kubwa na ya ajabu sana, malaika saba+ wenye mapigo saba.+ Hayo ndiyo ya mwisho, kwa sababu kupitia hayo hasira+ ya Mungu inamalizika.+