Ufunuo 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na yule wa saba akamwaga bakuli lake juu ya hewa.+ Ndipo sauti+ kubwa ikatokea katika patakatifu kutoka katika kile kiti cha ufalme, ikisema: “Imekuwa!”
17 Na yule wa saba akamwaga bakuli lake juu ya hewa.+ Ndipo sauti+ kubwa ikatokea katika patakatifu kutoka katika kile kiti cha ufalme, ikisema: “Imekuwa!”