-
Ufunuo 22:18Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
18 “Mimi ninamtolea ushahidi kila mtu asikiaye maneno ya unabii wa hati-kunjo hii: Yeyote akiongezea mambo haya, Mungu atamwongezea tauni ambazo zimeandikwa katika hati-kunjo hii;
-