Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hampaswi kuongeza jambo lolote kwenye neno ninalowaamuru, wala kuondoa jambo lolote kutoka katika neno hilo,+ ili mzishike amri za Yehova Mungu wenu ninazowaamuru ninyi.

  • Kumbukumbu la Torati 12:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Mnapaswa kutenda kwa uangalifu kila neno ninalowaamuru.+ Msiongeze wala kupunguza jambo lolote katika maneno hayo.+

  • Wagalatia 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hata hivyo, ikiwa sisi au malaika kutoka mbinguni tungewatangazia kuwa habari njema jambo tofauti na habari njema tuliyowatangazia, mtu huyo na alaaniwe.

  • 1 Yohana 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini kila neno lililoongozwa na roho ambalo halimkiri Yesu halitoki kwa Mungu.+ Zaidi ya hayo, hili ndilo neno lililoongozwa na roho la yule mpinga-Kristo ambalo mmesikia kwamba linakuja,+ na sasa tayari limo ulimwenguni.+

  • 2 Yohana 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kila mtu anayevuka mipaka na ambaye hakai katika fundisho la Kristo hana Mungu.+ Mtu anayekaa katika fundisho hili ndiye aliye na Baba na Mwana pia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki