Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Mnapaswa kutenda kwa uangalifu kila neno ninalowaamuru.+ Msiongeze wala kupunguza jambo lolote katika maneno hayo.+

  • Methali 30:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kila neno la Mungu ni safi.+

      Yeye ni ngao kwa wale wanaomkimbilia.+

       6 Usiongeze chochote katika maneno yake,+

      La sivyo atakukaripia,

      Nawe utathibitika kuwa mwongo.

  • Ufunuo 22:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Ninamtolea ushahidi kila mtu anayesikia maneno ya unabii wa kitabu hiki cha kukunjwa: Yeyote akiongeza kwenye mambo haya,+ Mungu atamwongezea mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki;+ 19 na yeyote akiondoa lolote kutoka katika maneno ya kitabu cha unabii huu, Mungu ataondoa fungu lake kutoka katika ile miti ya uzima+ na kutoka katika lile jiji takatifu,+ mambo yaliyoandikwa katika kitabu hiki cha kukunjwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki