- 
	                        
            
            Ufunuo 22:18, 19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
18 “Ninamtolea ushahidi kila mtu anayesikia maneno ya unabii wa kitabu hiki cha kukunjwa: Yeyote akiongeza kwenye mambo haya,+ Mungu atamwongezea mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki;+ 19 na yeyote akiondoa lolote kutoka katika maneno ya kitabu cha unabii huu, Mungu ataondoa fungu lake kutoka katika ile miti ya uzima+ na kutoka katika lile jiji takatifu,+ mambo yaliyoandikwa katika kitabu hiki cha kukunjwa.
 
 -