2 Hampaswi kuongeza jambo lolote kwenye neno ninalowaamuru, wala kuondoa jambo lolote kutoka katika neno hilo,+ ili mzishike amri za Yehova Mungu wenu ninazowaamuru ninyi.
7 “Ila tu uwe jasiri na imara kabisa, na ufuate kwa uangalifu Sheria yote kama Musa mtumishi wangu alivyokuamuru. Usiende kushoto wala kulia,+ ili utende kwa hekima mahali popote utakapoenda.+