2 Hampaswi kuongeza jambo lolote kwenye neno ninalowaamuru, wala kuondoa jambo lolote kutoka katika neno hilo,+ ili mzishike amri za Yehova Mungu wenu ninazowaamuru ninyi.
18 “Ninamtolea ushahidi kila mtu anayesikia maneno ya unabii wa kitabu hiki cha kukunjwa: Yeyote akiongeza kwenye mambo haya,+ Mungu atamwongezea mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki;+