Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mwana ni mwenye hekima palipo na nidhamu ya baba,+ lakini mtu mwenye dhihaka ni yule ambaye hajasikia kemeo.+

  • Methali 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Baba ya mtu mwadilifu hakika atakuwa na shangwe;+ na mtu anayekuwa baba ya mwenye hekima atamshangilia pia.+

  • Methali 27:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Uwe na hekima, mwanangu, na kuufanya moyo wangu ushangilie,+ ili nipate kumjibu anayenidhihaki.+

  • Methali 29:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mtu anayependa hekima humfanya baba yake ashangilie,+ lakini yeye anayeshirikiana na makahaba huharibu vitu vyenye thamani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki