Methali 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwana ni mwenye hekima palipo na nidhamu ya baba,+ lakini mtu mwenye dhihaka ni yule ambaye hajasikia kemeo.+ Methali 23:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Baba ya mtu mwadilifu hakika atakuwa na shangwe;+ na mtu anayekuwa baba ya mwenye hekima atamshangilia pia.+ Methali 27:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Uwe na hekima, mwanangu, na kuufanya moyo wangu ushangilie,+ ili nipate kumjibu anayenidhihaki.+ Methali 29:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtu anayependa hekima humfanya baba yake ashangilie,+ lakini yeye anayeshirikiana na makahaba huharibu vitu vyenye thamani.+
13 Mwana ni mwenye hekima palipo na nidhamu ya baba,+ lakini mtu mwenye dhihaka ni yule ambaye hajasikia kemeo.+
24 Baba ya mtu mwadilifu hakika atakuwa na shangwe;+ na mtu anayekuwa baba ya mwenye hekima atamshangilia pia.+
3 Mtu anayependa hekima humfanya baba yake ashangilie,+ lakini yeye anayeshirikiana na makahaba huharibu vitu vyenye thamani.+