Methali 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Methali za Sulemani.+ Mwana mwenye hekima ndiye anayemfanya baba ashangilie,+ naye mwana mjinga ni huzuni ya mama yake.+ Methali 15:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mwana mwenye hekima ndiye humfanya baba yake ashangilie,+ lakini mtu mjinga anamdharau mama yake.+ Methali 27:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Uwe na hekima, mwanangu, na kuufanya moyo wangu ushangilie,+ ili nipate kumjibu anayenidhihaki.+ Luka 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nawe utakuwa na shangwe na furaha kubwa, na wengi watashangilia+ kuzaliwa kwake;
10 Methali za Sulemani.+ Mwana mwenye hekima ndiye anayemfanya baba ashangilie,+ naye mwana mjinga ni huzuni ya mama yake.+
20 Mwana mwenye hekima ndiye humfanya baba yake ashangilie,+ lakini mtu mjinga anamdharau mama yake.+