1 Yohana 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ninawaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye wa tangu mwanzo.+ Ninawaandikia ninyi, vijana,+ kwa sababu mmemshinda yule mwovu.+ Ninawaandikia ninyi, watoto wachanga,+ kwa sababu mmemjua Baba.+
13 Ninawaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye wa tangu mwanzo.+ Ninawaandikia ninyi, vijana,+ kwa sababu mmemshinda yule mwovu.+ Ninawaandikia ninyi, watoto wachanga,+ kwa sababu mmemjua Baba.+