Mhubiri 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nikarudi nipate kuona matendo yote ya uonevu+ yanayofanywa chini ya jua, na, tazama! machozi ya wale wanaokandamizwa,+ lakini hawakuwa na mtu wa kuwafariji;+ nao wakandamizaji walikuwa na nguvu, hivi kwamba hawakuwa na mtu wa kuwafariji. Maombolezo 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yeye hulia sana usiku,+ na machozi yake yako kwenye mashavuyake.+Hana yeyote wa kumfariji kati ya wapenzi wake wote.+Wenzake wote wamemtendea kwa hila.+ Wamekuwa adui kwake.+ Maombolezo 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nitakutumia kama shahidi juu ya nini? Nitakufananisha na nini, Ee binti Yerusalemu?+Nitakulinganisha na nini, ili nikufariji, Ee binti Sayuni uliye bikira?+Kwa maana mvunjiko+ wako ni mkubwa kama bahari. Ni nani anayeweza kukuponya?+
4 Nami nikarudi nipate kuona matendo yote ya uonevu+ yanayofanywa chini ya jua, na, tazama! machozi ya wale wanaokandamizwa,+ lakini hawakuwa na mtu wa kuwafariji;+ nao wakandamizaji walikuwa na nguvu, hivi kwamba hawakuwa na mtu wa kuwafariji.
2 Yeye hulia sana usiku,+ na machozi yake yako kwenye mashavuyake.+Hana yeyote wa kumfariji kati ya wapenzi wake wote.+Wenzake wote wamemtendea kwa hila.+ Wamekuwa adui kwake.+
13 Nitakutumia kama shahidi juu ya nini? Nitakufananisha na nini, Ee binti Yerusalemu?+Nitakulinganisha na nini, ili nikufariji, Ee binti Sayuni uliye bikira?+Kwa maana mvunjiko+ wako ni mkubwa kama bahari. Ni nani anayeweza kukuponya?+