4 Tena, nikakazia uangalifu matendo yote ya ukandamizaji yanayofanywa chini ya jua. Nikaona machozi ya wanaokandamizwa, na hakukuwa na mtu yeyote wa kuwafariji.+ Na wale waliowakandamiza walikuwa na nguvu, lakini waliokandamizwa hawakuwa na mtu yeyote wa kuwafariji.