Ezekieli 16:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “ ‘Nami nitakuhukumu kwa hukumu za wanawake wazinzi+ na wanawake wanaomwaga damu,+ nami nitakupa damu ya ghadhabu na wivu.+ Ezekieli 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, je, utahukumu,+ je, utahukumu lile jiji lenye hatia ya damu+ na kulifanya lijue machukizo yake yote?+
38 “ ‘Nami nitakuhukumu kwa hukumu za wanawake wazinzi+ na wanawake wanaomwaga damu,+ nami nitakupa damu ya ghadhabu na wivu.+
2 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, je, utahukumu,+ je, utahukumu lile jiji lenye hatia ya damu+ na kulifanya lijue machukizo yake yote?+