Mwanzo 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu. Kutoka 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Yule anayempiga mtu na kumuua lazima atauawa.+ Zaburi 79:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wamemwaga damu yao kama majiKuzunguka Yerusalemu pande zote, wala hakuna mtu wa kuzika.+
6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu.