Ezekieli 20:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Je, utawahukumu? Je, utawahukumu, Ee mwana wa binadamu?+ Wajulishe machukizo ya mababu zao.+ Ezekieli 23:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, je, utawahukumu+ Ohola na Oholiba+ na kuwaambia machukizo yao?+
36 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, je, utawahukumu+ Ohola na Oholiba+ na kuwaambia machukizo yao?+