51 “ ‘Naye Samaria,+ hajatenda dhambi hata kufikia nusu ya dhambi zako, lakini wewe uliendelea kuyafanya machukizo yako yawe mengi kuliko walivyotenda, hivi kwamba ukawafanya dada zako waonekane kuwa waadilifu kwa sababu ya machukizo yako yote uliyoyaendeleza.+
51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+