Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, julisha+ Yerusalemu machukizo yake.+

  • Ezekieli 16:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 “ ‘Naye Samaria,+ hajatenda dhambi hata kufikia nusu ya dhambi zako, lakini wewe uliendelea kuyafanya machukizo yako yawe mengi kuliko walivyotenda, hivi kwamba ukawafanya dada zako waonekane kuwa waadilifu kwa sababu ya machukizo yako yote uliyoyaendeleza.+

  • Ezekieli 22:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, je, utahukumu,+ je, utahukumu lile jiji lenye hatia ya damu+ na kulifanya lijue machukizo yake yote?+

  • Ezekieli 23:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, je, utawahukumu+ Ohola na Oholiba+ na kuwaambia machukizo yao?+

  • Luka 11:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 “Ole wenu ninyi, kwa sababu ninyi huyajenga makaburi ya manabii, lakini mababu zenu waliwaua!+

  • Matendo 7:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki