Isaya 58:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 “Ita kwa sauti kamili kutoka kooni; usizuie.+ Paaza sauti yako kama baragumu, uwaambie watu wangu maasi+ yao, na nyumba ya Yakobo dhambi zao. Ezekieli 20:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Je, utawahukumu? Je, utawahukumu, Ee mwana wa binadamu?+ Wajulishe machukizo ya mababu zao.+ Ezekieli 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, je, utahukumu,+ je, utahukumu lile jiji lenye hatia ya damu+ na kulifanya lijue machukizo yake yote?+ Ezekieli 23:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, je, utawahukumu+ Ohola na Oholiba+ na kuwaambia machukizo yao?+
58 “Ita kwa sauti kamili kutoka kooni; usizuie.+ Paaza sauti yako kama baragumu, uwaambie watu wangu maasi+ yao, na nyumba ya Yakobo dhambi zao.
2 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, je, utahukumu,+ je, utahukumu lile jiji lenye hatia ya damu+ na kulifanya lijue machukizo yake yote?+
36 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Mwana wa binadamu, je, utawahukumu+ Ohola na Oholiba+ na kuwaambia machukizo yao?+