Ezekieli 23:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nayo majina yao yalikuwa Ohola, yule mkubwa na Oholiba dada yake, nao wakaja kuwa wangu+ na kuanza kuzaa wana na mabinti.+ Nayo majina yao, Ohola ni Samaria,+ na Oholiba ni Yerusalemu.+
4 Nayo majina yao yalikuwa Ohola, yule mkubwa na Oholiba dada yake, nao wakaja kuwa wangu+ na kuanza kuzaa wana na mabinti.+ Nayo majina yao, Ohola ni Samaria,+ na Oholiba ni Yerusalemu.+