Ezekieli 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “ ‘Nawe ulikuwa ukiwachukua wana na binti zako uliokuwa umenizalia,+ na ukawa ukiwatoa dhabihu kwao ili wamezwe+—je, matendo yako hayo ya ukahaba hayatoshi? Wagalatia 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Basi Hagari huyu anamaanisha Sinai,+ mlima ulio Arabia, naye analingana na Yerusalemu la leo, kwa maana liko katika utumwa+ pamoja na watoto wake.
20 “ ‘Nawe ulikuwa ukiwachukua wana na binti zako uliokuwa umenizalia,+ na ukawa ukiwatoa dhabihu kwao ili wamezwe+—je, matendo yako hayo ya ukahaba hayatoshi?
25 Basi Hagari huyu anamaanisha Sinai,+ mlima ulio Arabia, naye analingana na Yerusalemu la leo, kwa maana liko katika utumwa+ pamoja na watoto wake.