Kutoka 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Nitakasie kila mzaliwa wa kwanza wa kiume anayefungua kila tumbo la uzazi kati ya wana wa Israeli, kati ya wanadamu na wanyama. Ni wangu.”+ Zaburi 106:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kwa hiyo wakaendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+Damu ya wana wao na binti zao,Ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+Na nchi ikachafuliwa na umwagaji wa damu.+
2 “Nitakasie kila mzaliwa wa kwanza wa kiume anayefungua kila tumbo la uzazi kati ya wana wa Israeli, kati ya wanadamu na wanyama. Ni wangu.”+
38 Kwa hiyo wakaendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+Damu ya wana wao na binti zao,Ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+Na nchi ikachafuliwa na umwagaji wa damu.+