Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 23:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nami nitaonyesha ukali wangu juu yako,+ nao watakuchukulia hatua katika ghadhabu.+ Wataondoa pua yako na masikio yako, na sehemu yako inayobaki itaanguka kwa upanga. Wao wenyewe watawachukua wana wako na binti zako,+ na sehemu yako inayobaki itateketezwa kwa moto.+

  • Nahumu 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili+ na hulipiza kisasi; Yehova analipiza kisasi+ naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu.+ Yehova anawalipiza kisasi wapinzani wake,+ naye ana kinyongo juu ya adui zake.+

  • Sefania 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nami nitawataabisha wanadamu, nao watatembea kama vipofu;+ kwa sababu wamemtendea Yehova dhambi.+ Na damu yao itamwagwa kama mavumbi,+ na matumbo yao kama mavi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki