Ezekieli 23:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nayo majina yao yalikuwa Ohola, yule mkubwa na Oholiba dada yake, nao wakaja kuwa wangu+ na kuanza kuzaa wana na mabinti.+ Nayo majina yao, Ohola ni Samaria,+ na Oholiba ni Yerusalemu.+ Hosea 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami sitawaonyesha wanawe rehema,+ kwa maana wao ni wana wa uasherati.+ Wagalatia 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Basi Hagari huyu anamaanisha Sinai,+ mlima ulio Arabia, naye analingana na Yerusalemu la leo, kwa maana liko katika utumwa+ pamoja na watoto wake.
4 Nayo majina yao yalikuwa Ohola, yule mkubwa na Oholiba dada yake, nao wakaja kuwa wangu+ na kuanza kuzaa wana na mabinti.+ Nayo majina yao, Ohola ni Samaria,+ na Oholiba ni Yerusalemu.+
25 Basi Hagari huyu anamaanisha Sinai,+ mlima ulio Arabia, naye analingana na Yerusalemu la leo, kwa maana liko katika utumwa+ pamoja na watoto wake.